Kitabu: Tengeneza LikedIn Profile Ili Upate Ajira au Wateja

Written by Shukuru Amos

I am the founder of Tanzlite Digital, Creator, Author of Mbele Ya Muda, and the most followed Tanzanian marketer on LinkedIn.

Posted August 2, 2024

NIKUULIZE SWALI: Unataka kuonekana au kuchukuliwa SERIOUS? Unataka kuonekana UNAJUA au uonekane beginner, mgeni na mshamba wa LinkedIn au mtandao wa X? 

Kitabu changu kinakuhusu kama umekuwa ukijitahidi kupost na kucomment lakini hadhi ya jina lako bado DHAIFU na hauwezi kuuza.

Kinakuhusu pia wewe graduate uliyeenda kule LinkedIn na kuandika vitu kama:

Graduate student ❌

Seeking Opportunities ❌

Attended xxx University ❌

Looking For New Opportunities ❌

Jobseeker ❌

Degree holder in banking and finance ❌

Kinakuhusu na wewe uliyejiwekea UFINYU wa FURSA kwa kukomaa na X pekee wakati WAAJIRI na WATEJA serious wamejaa LinkedIn. Kwanini uweke mayai yako yote kwenye kapu moja?

Kwanini ni MUHIMU Kuwa na LinkedIn au X Profile BORA na Yenye KUELEWEKA?

Fikiria wewe ni striker. Umetoka na mpira katikati ya uwanja. Umepiga chenga mabeki wote na sasa niwewe na golikipa. Golikipa naye anakuja unamla tobo. 

Watu washanyanyuka vitini. Sasa ni wewe kutia mpira nyavuni.

Unapiga mpira…Halafu…UNAKOSA!!! 

Juhudi na chenga zote umeshindwa kumalizia!

Hivi ndivyo inavyokuwa ukiwa na LinkedIn profile mbovu, iko nusunusu au ina makosa ya wazi wazi. Utakuwa UNAKOSA watu wa kukutilia maanani.

Utakuwa unapost na kukocomment sawa, lakini mteja/mwajiri akija kuangalia Profile yako anakuta huna mkakati wa kumfanya achukue final decision ambayo ni kununua au kukuajiri.

Kuanzia Banner, Headline, Featured, About, Experience na Skills —yote hiyo ni mikakati ya umaliziaji. Usipoweka sawa maeneo haya, utakuwa unakosa magoli ya wazi kabisa.

Ugeni na ushamba wa jukwaa siyo sifa. Kama ilivyo kwenye sheria, kutokujua is a weak excuse. Badilika!

FAIDA 6 Za Kuwa Na Profile Inayoeleweka LinkedIn:

  1. Inafanya watu wasikuchukulie poa.
  2. Inakufanya upandishe bei ya huduma zako.
  3. Inakimbiza wazinguaji na kukuletea watu walio serious kulipia huduma zako.
  4. Inapunguza kujieleza sana maana inamaliza yote.
  5. Profile inakutangaza masaa 24 hata ukiwa zako umelala.
  6. Inalipa UZITO Jina lako.

Ni wachache sana wana Profile zinazowafanya wastahili kutazamwa mara mbili. Achilia mbali kukaa akilini na kufuatiliwa mara kwa mara na watu. Nataka uwe miongoni mwa hawa wachache.

🎯 I’m the most followed Tanzanian marketer on LinkedIn na huwa ninaona jinsi wabongo vile we sell ourselves shot kule. Hakuna mtu atakuja kukutonya juu ya haya niliyoyaweka bayana na kuyasahihisha kwenye Mwongozo huu.

Chukua Mwongozo huu UONDOE aibu ndogo ndogo na kubwa zinazoshusha hadhi yako kwenye hadhara ya wateja na waajiri. 

Bei yake haitoshi hata kupata lunch pale mjini kati. Ni Tsh 14,900 tu.

Bofya HAPA KUJIPATIA Nakala Yako Chap!

0 Comments

Submit a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.

Governments vs Social Media: Build That Website

Governments vs Social Media: Build That Website

It is not a wise idea to put all your eggs in one basket. Especially if you have little ownership of that basket. Recent feuds between governments and social media giants highlight the risks of relying on third-party platforms for business. Here’s why owning your...

Introducing Tanzlite Host: The New Web Hosting Player in Tanzania

Introducing Tanzlite Host: The New Web Hosting Player in Tanzania

Earlier this year, we introduced Tanzlite Host. This is not just another name in Tanzania's web hosting services; we're rewriting the rules. Here's how our unique approach to business is setting us apart and why it's the most profitable model in the industry: A...

Products From Tanzlite